Hali wilayani Bududa, Uganda baada ya maporomoko ya ardhi
4 Machi 2010Matangazo
Hali hiyo pia inatokana na ukosefu wa barabara za kupitisha mashine nzito kama vile greda.
Mwandishi wetu nchini Uganda, Leylah Ndinda, ambaye ametembelea eneo hilo, anaarifu kuwa shughuli za uchimbaji zilisitishwa jana jioni na mvua kubwa iliyonyesha, hali iliyosababisha watu kulimbia eneo la tukio wakihofia
kutokea tena kwa maporomoko ya ardhi.
Leylah Ndinda anaeleza zaidi hali ilivoyo kwa sasa katika eneo hilo.
Mwandishi: Leyla Ndinda Mhariri: Othman Miraji