Tuliyo nayo ni pamoja na : Nchi zilizoendelea zaidi kiviwanda za G-20 zashindwa kufikia msimamo wa pamoja unaounga mkono biashara huru kimataifa// Rais wa Marekani Donald Trump aituhumu Ujerumani kuwa na deni kubwa kwa NATO//Mtu mmoja apigwa risasi na kuuawa katika uwanja wa ndege mjini Paris.