Israel imefanya mashambulizi ya makombora katika Ukanda wa Gaza usiku wa kuamkia leo, na kuua watu watatu.// Marekani kuiwekea Urusi vikwazo, kufuatia jaribio lake la kutumia sumu kumuua jasusi wa zamani wa Urusi na bintiye nchini Uingereza.// Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila, amemchagua atakayekuwa mrithi wake katika uchaguzi ujao wa rais.