Upinzani Tanzania wapinga matokeo ya kura yanayoendelea kutangazwa na tume ya uchaguzi//Donald Trump na Joe Biden waonyesha misimamo tofauti ya kukabiliana na janga la corona katika kampeni huko Florida//Na Rais Emmanuel Macron asema Ufaransa itatuma majeshi kulinda makanisa na shule kufuatia shambulizi mjini Nice.