1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 02.11.2017

2 Novemba 2017

Mwanaume wa Uzbekistan anayetuhumiwa kuwagonga watu nchini Marekani, amefunguliwa mashtaka ya ugaidi // Waziri wa Ulinzi wa Uingereza, Michael Fallon amejiuzulu baada ya kukiri kuhusu mwenendo usiofaa // Wabunge wa Marekani, wamefikia makubaliano ya kuweka vikwazo vipya vinavyoilenga Korea Kaskazini.

https://p.dw.com/p/2msX8