Serikali ya Kenya yatoa siku ya mwisho kwa wakimbizi wa ndani kondoka katika makambi
9 Oktoba 2009Matangazo
Wakimbizi hao waliyapoteza makaazi yao kufuatia ghasia zilizotokea punde baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007. Jane Nyingi amezungumza kwa njia ya simu na
mwenyekiti wa wakimbizi hao wa ndani Peter Kariuki na kwanza alitaka kujua
wamejiandaa vipi kwa shughuli hii.