Timu ya soka ya taifa ya wanawake Ujerumani ni moja wapo ya vikosi vilivopata mafanikio makubwa ulimwenguni. Ni mabingwa mara mbili wa michuano ya dunia. Wameshinda mashindano ya 2003 na 2007. Na mabingwa mara nane wa michuano ya barani Ulaya. Lakini kama Lilian Mtono anavyoeleza safari yao haikuwa rahisi.