You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Vita vya Marekani-Israel na Iran
Mlipuko wa Ugonjwa wa Ebola
Kombe la Dunia la FIFA 2026
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Usawa wa kijinsia
Usawa wa Kijinsia ni hali ya uapatikanaji sawa wa rasilimali na fursa bila kujali jinsia.
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Kigoda kinachotumiwa tu na wanaume wa Kimasai Kenya
Kigoda kinachotumiwa tu na wanaume wa Kimasai Kenya
Vigoda vina nafasi muhimu kwenye maisha ya jamii za Kiafrika. Ni sanaa, mila na utamaduni unaoziunganisha jamii hizo.
Wanawake Japan bado wabaguliwa kisiasa
Wanawake Japan bado wabaguliwa kisiasa
Japan bado inakabiliwa na pengo kubwa la usawa wa jinsia katika nyanja za biashara, siasa na uchumi.
Wanawake waliowahi kufungwa na juhudi za kusaidiana
Wanawake waliowahi kufungwa na juhudi za kusaidiana
Wanawake waliowahi kufungwa gerezani baada ya kukutwa na hatia ya makosa mbalimbali wameanzisha umoja wa kusaidiana.
Tanzania yashauriwa kuwekeza uvuvi himilivu kulinda wanawake
Tanzania yashauriwa kuwekeza uvuvi himilivu kulinda wanawake
Ripoti mpya yaonya ukatili wa kijinsia kwa wavuvi wanawake, ikihusisha rushwa ya ngono.
Ebola DRC: Wanawake katika mstari wa mbele wa hatari
Ebola DRC: Wanawake katika mstari wa mbele wa hatari
Wataalamu wa afya wanasema jukumu la wanawake kama walezi wa kwanza linaongeza hatari yao ya kuambukizwa Ebola.
Wanawake DRC wasimulia visa vibaya wakati wa kujifungua
Wanawake DRC wasimulia visa vibaya wakati wa kujifungua
Hii ni baada ya video kusambaa iliyomwonyesha mwanamke mmoja akipiga kelele mara baada ya kujifungua.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Vita vya Lebanon vinawaweka kinamama wajawazito hatarini
Maelfu ya wanawake wajawazito waliokimbia makazi yao wanahangaika kupata huduma za afya.
Wanawake wahusishwe katika mchakato wa amani na usalama
Zamani mapendekezo ya hilo yalitolewa tu lakini sasa kuna muundo wa ufuatiliaji, kuhakikisha wanawake wanashiriki.
Wanawake kushirikishwa kudumisha amani DRC
AFEM yasema wanawake wanasikitika kuona hawashirikishwi katika mikataba inayofikiwa ya kutafuta amani
Idadi ya wanawake yaongezeka katika mabunge ya Afrika
Kwa ujumla, wanawake wanashikilia angalau 20% ya viti katika mabunge ya kitaifa ya nchi 31 kati ya 54 za barani Afrika.
Wajue vinara waliopigania haki za wanawake
Kuanzia Gisele Pelicot hadi Rosa Parks na Clara Zetkin: Hawa ndio wanawake 11 wanaopigania haki sawa kwa wanawake.
Upendeleo wa kijinsia wa AI katika Tafsiri za Kiswahili
Tafsiri za teknolojia ya akili mnemba AI hubeba pia mitazamo ya kijamii ikiwemo upendeleo wa kijinsia.
Maudhui yote (946) kwenye mada hii