1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroIran

Iran: Mashambulizi, Kauli tata na Hatma Isiyoeleweka!

26 Machi 2026

Hata baada ya Rais Donald Trump kudai kuwa Marekani iko kwenye mazungumzo na Iran ili kumaliza mgogoro huo, Iran imekanusha vikali kuwepo kwa mazungumzo yoyote. Kwenye uchambuzi huu tunachunguza malengo ya kila upande, sababu za mkanganyiko, na mustakabali wa mzozo huu unaotikisa Mashariki ya Kati.

https://p.dw.com/p/5B9AR