Rais wa Marekani, Donald Trump aukosoa tena Mkataba wa Paris kutokana na maandamano ya Ufaransa // Waasi wa Houthi wametoa wito wa kuanzishwa kwa serikali ya mpito itakayozihusisha pande zote za kisiasa // Mwenyekiti wa tawi la vijana la chama cha Christian Democratic Union, CDU, nchini Ujerumani Paul Ziemiak, achaguliwa kuwa katibu mkuu wa chama hicho