Matokeo rasmi ya uchaguzi nchini Uganda kutangazwa leo jioni // Leo imetimia miaka 20 tangu kuuawa kwa rais wa zamani wa Jamhuri ya kidemokrasi ya Kongo Laurent Désiré Kabila // Chama cha kihafidhina nchini Ujerumani cha Christian Democratic Union, CDU leo kinamchagua kiongozi wake mpya