1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Asubuhi: Taarifa ya Habari Saa 12:00 (Afrika Mashariki)

V2 / S12S27 Julai 2019

Ripoti ya Umoja wa Mataifa yazituhumu Israel na muungano wa majeshi unaoongozwa na Saudi Arabia nchini Yemen kusababisha vifo vya watoto 729 mwaka uliopita.// Zaidi ya watu 400,000 wameyakimbia makaazi yao katika miezi mitatu iliyopita nchini Syria kufuatia mashambulizi.//Na washirika wa Uingereza katika Umoja wa Ulaya wamuonya waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson kuhusu Brexit

https://p.dw.com/p/3MoWh