Matangazo
Mengine ni Kenya na Tanzania zarejesha safari za ndege baina yake // Mkosoaji wa serikali ya Rwanda Paul Rusesabagina afikishwa kizimbani mjini Kigali // Nchini Mali utawala wa kijeshi bado waandamwa juu ya kuunda serikali ya kiraia // Mkuu wa serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa atangaza kukabidhi madaraka kwa serikali mpya kufikia mwishoni mwa Oktoba.