Tunatumia 'cookies' ili kuboresha huduma zetu kwako. Maelezo zaidi yanaweza kupatikana katika sera yetu ya faragha.
Karibu hapa usikilize matangazo yetu ya Jumamosi, asubuhi
Tuma Facebook Twitter Whatsapp Web EMail Telegram Facebook Messenger Web
Kiungo https://p.dw.com/p/3lwlJ
Waziri Mkuu wa Sudan amesema amekubaliana na mwenziwe wa Ethiopia kufanya mkutano wa dharura, utakaojumuisha mataifa yalio katika Shirikisho la Maendeleo la Pembe ya Afrika IGAD, utakaohusu utatuzi wa mzozo wa Tigray.
Jopo la serikali linaloshughulikia masuala ya dharura limesema hayo usiku wa kuamkia Jumatatu, huku likiwashutumu viongozi wa jimbo hilo kwa kuwafungulia wafungwa 10,000 katika mji huo walipokuwa wakikimbia.
Jeshi la serikali ya Ethiopia limesema liko umbali wa kilomita 60 kuufikia mji mkuu wa Tigray Mekele.
Ethiopia imemtuhumu rais wa Marekani Donald Trump kwa kuchochea vita kuhusu bwawa la moto Nile baada ya rais huyo kuzungumza dhidi ya mradi huo na kusema Misri inaweza kuuharibu. Ethiopia imemtuhu pia Trump kwa upendeleo