Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut, huku ikisema Iran imefanya mashambulizi mapya ya makombora. Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kukutana na viongozi wanchi za G7 leo kujadili mgogoro wa Iran. Na Kiongozi wa Madagaska, Kanali Michael Randrianirina, amfuta kazi waziri mkuu wake na kulivunja baraza la mawaziri.