1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.10.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
9 Oktoba 2025

Rais wa Marekani Donald Trump asema Isreal na Hamas wamesaini awamu ya kwanza ya mkataba wa amani wa Gaza. Umoja wa Mataifa kupunguza vikosi vyake vya kulinda amani duniani kote. Na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kumteua waziri mkuu mpya saa 48 zijazo.

https://p.dw.com/p/51h3J