Waasi wa Laurent Nkunda waomba mazungumzo ya moja kwa moja na Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo
17 Septemba 2008Matangazo
Mashirika ya misaada ya kiutu yamechanganyikiwa kutokana na uwingi wa wahamiaji vita wa Kivu ya kaskazini na kusini.Waasi wa Laurent Nkunda wametishia kutotekeleza makubaliano ya amani ya GOMA na kuomba mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Kongo.
Taarifa kamili na mwandishi wetu saleh Mwanamilongo.