SiasaVirusi vya Corona vyaambukiza wengi zaidi ChinaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaAmina Abubakar31.01.202031 Januari 2020Marekani na Japan wamewahamisha raia wao kutoka eneo yalikoanzia maradhi ya kuambukiza yanayosababishwa na virusi vya Corona, wakati ambapo idadi ya waliopoteza maisha yao baada ya kuambukizwa virusi hivyo imeongezeka mno na kufikia watu 132.https://p.dw.com/p/3WzAJMatangazo