You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Uchaguzi Mkuu wa Ujerumani 2025
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Picha: DW
Amina Abubakar
Mhariri na mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya DW
Ruka sehemu inayofuata Taarifa zilizoonesha na Amina Abubakar
Taarifa zilizoonesha na Amina Abubakar
Bunge la Ujerumani lajadili sera kali za uhamiaji
Muswada huo uliletwa bungeni na Kiongozi wa chama cha upinzani cha CDU Friedrich Merz
Israel yasema wanamgambo 15 wameuwawa Lebanon
Baraza la Usalama la UN limefanya kikao cha kujadili hali inayozidi kuwa mbaya katika mgogoro wa Mashariki ya Kati.
Burkina Faso yamulikwa kuhusu utekaji nyara wanaharakati
Matukio hayo yameongezeka katika miezi ya hivi karibuni na yamezua hofu kwa raia wa taifa hilo linaloongozwa kijeshi.
Ruka sehemu inayofuata Taarifa na Amina Abubakar
Taarifa na Amina Abubakar
Hali inazidi kuwa mbaya Mashariki mwa Kongo
Hali inazidi kuwa mbaya Mashariki mwa Kongo
Umoja wa Mataifa umesema imepata taarifa ya wanawake 52 wanaodaiwa kubakwa na kudhalilishwa kingono na jeshi la kongo.
Trump atishia kuziwekea nchi za BRICS ushuru wa asilimia 100
Trump atishia kuziwekea nchi za BRICS ushuru wa asilimia 100
Trump pia ametishia kuziwekea ushuru Mexico, Canada na China, ambazo ndio washirika wakubwa wa kibiashara wa Marekani.
Niger, Mali na Burkina Faso zaiaga rasmi ECOWAS
Niger, Mali na Burkina Faso zaiaga rasmi ECOWAS
Mataifa hayo matatu sasa yameunda muungano wao wa ulinzi wa mataifa ya sahel AES.
Je vifaa unavyotumia mazoezini ni salama?
Je vifaa unavyotumia mazoezini ni salama?
Vifaa visivyo salama kama makopo yaliyojazwa zege, bila kujulikana uzito wake, vinaweza kusababisha majeraha makubwa wakati unapovitumia kufanya mazoezi. Unapofanya mazoezi, lengo ni kuimarisha afya yako lakini utumiaji wa vifaa duni huenda ukakusababishia matatizo zaidi kuliko faida. Zaidi tizama vidio hii, mtayarishaji ni Fathiya Omar mwandishi wetu kutoka Mombasa, Kenya. #kurunziafya
Wahamiaji 27 wapoteza maisha katika bahari ya Mediterenia
Wahamiaji 27 wapoteza maisha katika bahari ya Mediterenia
Tunisia inakabiliana na mgogoro wa wakimbizi na imechukua nafasi ya Libya kama eneo linalotumika sana na wahamiaji.
Zimbabwe yaondoa hukumu ya kifo
Zimbabwe yaondoa hukumu ya kifo
Shirika la kutetea haki za binaadamu la Amnesty International limepongeza hatua ya kuondolewa kwa hukumu ya kifo.
Onesha taarifa zaidi
Nenda ukurasa wa mwanzo