1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani: wakimbizi wajiunga na Chuo Kikuu cha mtandaoni

Yusra Abdallah Buwayhid15 Juni 2016

Wakimbizi nchini Ujerumani wamepata fursa ya kujiunga na chuo kikuu cha mtandaoni , kujiendeleza kimasomo. Utasikia pia orodha ya wachezaji mpira watano bora, katika mtandao wa Instagram. Pamoja na yale yaliyovuma mitandaoni.

https://p.dw.com/p/1J6tA

Ungana na Yusra Buwayhid, katika kipindi cha Sema Uvume.