SiasaKenyaRuto azungumza na DWTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaKenyaJacob Safari29.03.202329 Machi 2023Rais wa Kenya William Ruto ameulaani upinzani nchini mwake kwa maandamano na kutaka mambo ambayo ni kinyume cha katiba. Amewahakikishia Wakenya kwamba changamoto za kiuchumi zilizopo sasa zitatatuliwa. Ruto ameyasema haya katika mahojiano ya DW.https://p.dw.com/p/4PRxXMatangazo