1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NEW YORK:Daimler Chrysler and Siemens yatajwa katika ripoti ya kashfa.

28 Oktoba 2005
https://p.dw.com/p/CENp

Ripoti ya Umoja wa Mataifa juu ya mpango wa kununua chakula kutokana na mauzo ya mafuta nchini Irak,imelitaja jina la kampuni ya Daimler-Chyrsler na Siemens kuwa miongoni mwa makampuni zaidi ya alfu 2 yaliyohusika na ubabaifu juu ya mpango huo.

Uchuguzi wa Umoja wa Mataifa umeonyesha kwamba makampuni katika nchi 66 yalitoa magendo kiasi cha dola bilioni 1 na nukta nane kwa serikali ya Saddam Hussein.