Matatizo ya kuandikishwa kwa wapiga kura Zanzibar
28 Aprili 2010Matangazo
Kulingana na Mwenyekiti wa ZEC Khatibu Mwinyichande, tume hiyo haiwezi kuongeza muda kwa sababu bajeti iliyotengewa zoezi hilo imemalizika. Lakini wapinzani wanaliangalia kwa sura tofauti suala hili. Hujuma za kisiasa. Je nini msimamo wa chama cha CUF kuhusiana na suala hili. Munira Muhammad alizungumza na Ismail Jussa, Mbunge maalum na pia Afisa wa ngazi ya juu wa CUF. Na kwanza anaelezea msimamo wa chama hicho kuhusiana na tangazo hilo la tume ya uchaguzi ya Zanzibar.
Mwandishi: Munira Muhammad