1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.01.2017: Matangazo ya Mchana

13 Januari 2018

Iran yasema haiwezi kujadiliana juu ya mpango wake wa nyuklia baada ya Trump kutishia kuitoa Marekani. Umoja wa Afrika wamtaka Donald Trump kuyaomba radhi mataifa ya Afrika kwa kuyadhalilisha. Aung San Suu Kyi asifu hatua ya jeshi kukiri mauaji ya Warohigya.

https://p.dw.com/p/2qo2e