1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi ya DW Kiswahili: 22.01.2021

Tatu Karema
22 Januari 2021

Rais wa Marekani Joe Biden atilia mkazo sheria za kuvaa barakoa na kuagiza kuwekwa chini ya karantini kwa watu wanaosafiri kuelekea nchini humo, viongozi wa Umoja wa Ulaya wawataka raia wa bara hilo kutosafiri kiholela na kansela wa Ujerumani Angela Merkel na Umoja wa Ulaya, wasisitiza wito wa kuachiwa huru kwa kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny

https://p.dw.com/p/3oGJU