1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 18.07.2017

Yusra Buwayhid
18 Julai 2017

Uturuki kuwaweka kizuizini wanaharakati 10 wa haki za binaadamu bila ya kuwafungulia mashtaka. Wanawake watano wa Kijerumani wakamatwa mjini Mosul huko Iraq wakiwaunga mkono wanamgambo wa IS.Umoja wa Ulaya wazuia uuzaji wa boti kwa Libya ili kukomesha uhamiaji.

https://p.dw.com/p/2ghYx