1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Muuaji wa Las Vegas alikuwa na bunduki 47

Mohammed Khelef
4 Oktoba 2017

Kumbe yule muuaji wa watu 59 mjini Las Vegas, Marekani, alikuwa na bunduki 47. Nchini Togo wapinzani wameanza maandamano ya siku mbili kumtaka Rais Faure Gnassingbe kuondoka madarakani, huku Catalonia ikisema wiki ijayo ndiyo muda wa kujitangazia rasmi uhuru kutoka Uhispania. Yote hayo na mengine ni kwenye Papo kwa Papo leo tarehe 4 Oktoba 2017.

https://p.dw.com/p/2lDWA