1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 06.03.2016

SK2 / S02S6 Machi 2016

Mgombea uteuzi wa chama cha Republican kuwania urais wa Marekani Ted Cruz amemshinda mpinzani wake Donald Trump/Viongozi wa Umoja wa Ulaya katika mkutano wao wa kilele wanatarajiwa kuishinikiza Uturuki kukubali kwa kiasi kikubwa kuhamishwa kwa wahamiaji kutoka Ugiriki/ Raia wa Benin wameshuka katika vutuo vya kupiga kura kumchagua rais ajae wa taifa hilo masikini katika Afrika ya Magharibi.

https://p.dw.com/p/1I8CD