You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Ukraine
Miaka 60 ya DW Kiswahili
Sarafu ya Euro
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Tiketi za yuro 49 zitaleta ahueni kwenye usafiri nchini Ujerumani?
Tiketi za yuro 49 zitaleta ahueni kwenye usafiri nchini Ujerumani?
Ujerumani imezindua tiketi mpya ya yuro 49 , baada ya muda ya malalamiko ya abiria ya bei kubwa za tiketi na changamoto nyinginezo. Kampuni ya reli ya Ujerumani nayo inapigania uhai wake, kwa njia ya kupunguza nauli. Je, uzinduzi wa tiketi hii uliofanywa na kampuni ya Deutsche Bahn imeleta suluhu ya mashaka yaliyopo? Sikiliza makala ya Sura ya Ujerumani kwa mengi zaidi.
Mataifa masikini yaidai G7 yuro trilioni 13.
Mataifa masikini yaidai G7 yuro trilioni 13.
Oxfam yazitaka nchi za G7 kulipa madeni ya uharibifu yaliyoahidiwa miaka mingi iliyopita kwa nchi maskini.
Ujerumani itaipa Ukraine msaada wa kijeshi euro bilioni 2.7
Ujerumani itaipa Ukraine msaada wa kijeshi euro bilioni 2.7
Ujerumani imesema kuwa itaipatia Ukraine msaada mpya wa kijeshi wenye thamani ya zaidi ya euro bilioni 2.7
Mkutano wa mawaziri wa fedha wa G7 waanza nchini Japan.
Mkutano wa mawaziri wa fedha wa G7 waanza nchini Japan.
Miongoni mwa maswala mengine.mawaziri wa fedha wa G-7 pia wanajadili jinsi ya kuisaidia Ukraine.
Ujerumani yaahidi euro bilioni mbili kupambana na mabadiliko ya tabia nchi
Ujerumani yaahidi euro bilioni mbili kupambana na mabadiliko ya tabia nchi
Katika mazungumzo juu ya hali ya hewa ya Petersberg, Ujerumani imezitaka nchi kote ulimwenguni kuongeza shabaha zao za nishati mbadala, huku ikiahidi Euro bilioni mbili za ziada katika kupamba na athari za mabadiliko ya tabia nchi duniani.
Harambee Stars yarudi dimbani baada ya marufuku ya FIFA
Harambee Stars yarudi dimbani baada ya marufuku ya FIFA
Baada ya marufuku kutoka kwa shirikisho la Soka Duniani FIFA katika kandanda ya kimataifa, Timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars itashuka dimbani hapo kesho kuchuna na Iran katika uga wa Azadi mjini Tehran. Kwa haya na mengine mengi karibu viwanjani.
Onesha zaidi
Matangazo