1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni : 18.06.2016

SK2 / S02S18 Juni 2016

Tuliyo nayo jioni hii : Rais wa zamani wa Misri Mohammed Morsi amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa kosa la ujasusi wakati akiwa madarakani // Muuaji wa mbunge wa Uingereza afikishwa mahakamani London //Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier amesema mazoezi ya kijeshi ya jumuiya ya kujihami ya NATO, yanaweza kuvuruga hali ya kiusalama Mashariki mwa Ulaya.

https://p.dw.com/p/1J9JS