Tuliyo nayo ni pamoja na ; Uturuki yataka wanajeshi wake waliokimbia na helkopita na kutua nchini Ugiriki baada ya kushindwa kwa jaribio la mapinduzi kurejeshwa. kansela wa ujerumani Angela Merkel alaani jaribio la mapinduzi ya Uturuki. Na Zaidi ya wakimbizi 1800 wa Sudan Kusini wameyakimbia mapigano ya mjini Juba na kuingia nchini Uganda.