Viongozi wa nchi kadhaa za Afrika wanashiriki mkutano wa kile kinachojulikana kama G20 Compact Africa//Shambulizi la bomu kwenye uwanja wa ndege Kabul linaashiria kwamba kundi la wanamgambo lenye uhusiano na lile linalojiita Dola la Kiislamu, ni tishio Afghanistan na kote ulimwenguni//Gavana wa Ubangi katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo ahofia ghasia tangu kugunduliwa kwa madini