Hali ya wasiwasi yatanda Burundi kampeni ya urais ikianza Juni 12
11 Juni 2010Matangazo
Nchini Burundi uchaguzi unatarajiwa na wanasiasa hasa wa upinzani wanaendelea kulalamika kwamba wanahujumiwa. Kampeni ya kuwania urais inazunguliwa rasmi hapo kesho, Juni 12, huku kukiwa na hali ya wasiwasi kuhusu redio moja ya Burundi inayotangaza taarifa za uchochezi.
Rais wa nchi hiyo, Piere Nkurunziza ndiye mgombea pekee wa urais baada ya wagombea wote wa vyama vya upinzani kujiondoa katika kinyang´anyiro hicho.
Mwandishi wetu kutoka Bujumbura, Hamida Issa, ametutumia taarifa ifuatayo inayosimulia jinsi hali ya kisiasa ilivyo.
Mwandishi, Hamida Issa
Mhariri, Othman Miraji