Hali ya kisiasa nchini Komoro
30 Aprili 2007Matangazo
Hatua hiyo inaelekea kumaliza mgogoro uliokuweko baada ya kiongozi huyo kukataa kufanya hivyo hadi atakapochaguliwa rais mpya katika uchaguzi wa marais wa visiwa mwezi Juni ambapo binafsi ni mgombea.
Mwandishi wetu mjini Moroni, Abdulrahman Baramia ametutumia ripoti ifuatayo.