Kundi la waasi linaloongozwa na Jenerali muasi Laurent Nkunda limekanusha taarifa za vyombo vya habari nchini Kongo kwamba limeunda serikali yake ambayo inasemekana inawajumuisha mawaziri 12.
https://p.dw.com/p/Fst2
Matangazo
Saumu Mwasimba alizungumza na Jenerali Laurent Nkunda na kwanza alitaka kupata ukweli juu ya ripoti hizo.