1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bundesliga kurejea viwanjani Ijumaa

Josephat Charo
26 Septemba 2022

Ligi kuu ya kandanda ya Ujerumani, Bundesliga kurejea Ijumaa, Bayern Munich kukwaana na Bayer Levekusen, Cologne kukabana koo na Borussia Dortmund. Timu ya taifa ya soka ya Ujeruamani Die Mannschaft kuvaana leo na England katika mechi ya ligi ya mataifa ya Ulaya.

https://p.dw.com/p/4HMtR