1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Borussia Dortmund - BVB

Borussia Dortmund, au BVB, ni klabu ya kandada ya Ujerumani. Katika miaka ya karibuni, klabu hii imekuwa ni mpinzani mkubwa wa klabu ya Bayern Munich katika kinyanganyiro cha taji la Bundesliga.