Kazi ya uokoaji bado inaendelea katika meli iliyozama huko Zanzibar, ikiwa hadi sasa watu sita ndio wanaotambulika kuwa wamekufa maji.
https://p.dw.com/p/I2Ja
Matangazo
Je kazi hiyo inaendeleaje , Sekione Kitojo alipata fursa ya kuzungumza na waziri wa nchi ofisi ya waziri kiongozi Hamza Hassan Juma, ambaye alimfahamisha hatua zilizokwisha chukuliwa.