Miongoni mwa taarifa za Mchana: Macedonia yakubali wakimbizi kuingia nchini mwake, baada ya kuwazuia kwa siku tatu.// Ujerumani yalaani vurugu dhidi ya wahamiaji katika mji wa Heidenau mashariki mwa nchi. // Na mazungumzo ya kutatua mvutano wa mpaka wa Korea Kusini na Kaskazini yaendelea.