Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni pamoja na: Kamanda anayeshirikiana na mbabe wa kivita anayetafutwa Joseph Kony, Dominic Ongwen leo hii anasimamishwa kizimbani mjini The Hague// Wajumbe wa baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wanasaafiri kwenda Burundi leo.