Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni pamoja na: Rais wa Umoja wa Ulaya Jean-Claude Juncker amewasilisha mpango mpya na mpana leo wa kushughulikia mzozo wa wakimbizi barani Ulaya// Jeshi la anga la ufaransa limeanza kurusha ndege za upelelezi katika anga ya Syria kukusanya data zitakazosaidia maamuzi ya mashambulizi dhidi ya kundi la Dola la Kiislamu