1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ndondi na Vijana

Faiz Musa Abdallah25 Machi 2019

Mchezo wa ndondi ni mojawapo wa michezo maarufu ulimwengu japo washiriki wake ambao ni mabondia sio wengi vile ukilinganisha na michezo mengine. Miongoni mwa vijana, mchezo huu wa ndondi ambao ni mabondia wawili kupigana kwa kutumia ngumi pekee haujapokelewa kwa shangwe kubwa kama vile kandanda licha ya vijana wengi kuonekana kufanya mazoezi ya kutanua vifua na mikono.

https://p.dw.com/p/3Fcic
Tansania | Boxer Seif Juma
Seif akiwa katika mazoezi katika uwanja wa Mkombozi mtaa wa Manzese jijini Daresalaam, Tanzania siku chache kabla ya kwenda katika mchuano nchini UgandaPicha: privat
Tansania | Boxer Seif Juma
Seif akiwa na mwanafunzi wake akimfunza Taekwondo katika ukumbi wa mazoezi Kagera, Magomeni nchini TanzaniaPicha: privat
Tansania | Boxer Seif Juma
Seif akimakinika katika urushaji masumbwi katika eneo la Magomeni Mwaka 2018 kabla ya kwenda Afrika Kusini Picha: privat
Tansania | Boxer Seif Juma
Seif akiwa katika ukumbi wa Heroes Fitness pambizoni ni mkufunzi wake.Picha: privat
Tansania | Boxer Seif Juma
Seif akionyesha makombe aliyoshinda katika mashindano Senegal (2017), Kombe mkono wa kulia alishinda nchini Kenya na medali ya shaba nchini Dubai Picha: privat