1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tathmini ya sera ya Ujerumani kuwahudumia wahamiaji

Josephat Charo Nyiro4 Septemba 2020

Katika makala ya 'Maoni mbele ya Meza ya Duara', safari hii kipindi hiki kinapiga darubini miaka mitano nyuma wakati mamia kwa maelfu ya wakimbizi walimiminika Ujerumani naye kansela wa Ujerumani Angela Merkel alisema ‘Tunaweza‘ akimaanisha wanaweza kuwahudumia wakimbizi. Je sera hiyo imefanikiwa kwa kiwango gani? Josephat Charo ndiye nahodha wa kipindi kwa leo.

https://p.dw.com/p/3hyxz