1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi 29.11.2017

Caro Robi
29 Novemba 2017

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kukztana kwa kikao cha dharura baada ya Korea Kaskazini kurusha kombora//Serikali ya Syria imetangaza itatuma wajumbe kwa mazungumzo ya kutafuta amani yanayoendelea Geneva//Viongozi wa Umoja wa Ulaya na wa Umoja wa Afrika kukutana Ivory Coast kwa mkutano wa kilele kuhusu maendeleo.

https://p.dw.com/p/2oQmE