1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi - 12.10.2019

V2 / S12S12 Oktoba 2019

Vikosi vya Uturuki vinasonga mbele kwenye operesheni ya kijeshi dhidi ya wakurdi nchini Syria. China na Marekani zimefikia makubaliano ya awali ya kutisitisha vita vya kibiashara. Boris Johnson atawaomba wabunge waridhie makubaliano yoyote ya Brexit.

https://p.dw.com/p/3RAon