Siku ya kupinga Mateso Duniani
26 Juni 2007Matangazo
Mateso mengi dhidi ya binaadamu katika nchi za Afrika yanatokea zaidi katika nchi zilizo na mizozo hasa ya kisiasa kama vile Sudan,Somalia,Kongo na zinginezo.
Saumu Mwasimba amezungumza na mwanaharakai wa haki za binaadamu na vile vile mwanasheria nchini Tanzania Profesa Chris Peter ambaye kwanza anaeleza umuhimu wa siku hii ya kupinga mateso.