Dola bilioni moja na laki tau milioni zimeibiwa na viongozi wa serikali na mashirika ya umma nchini DRC. Mashirika ya forodha ,kodi na wizara ya fedha zimeshika mstari wa mbele katika ulaji rushwa nchini humo.
https://p.dw.com/p/EiTM
Matangazo
Taarifa hiyo imetolewa na tume ya uchunguzi ilioundwa na serikali ya DRC katika mpango wake wa kupambana na rushwa nchini humo.
Taarifa kamili na mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo.