1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni - 22.09.2019

SK2 / S02S22 Septemba 2019

Rais Donald Trump wa Marekani ametetea mazungumzo yake kwa njia ya simu na rais wa Ukraine. Polisi ya Hong Kong imetumia nguvu kudhibiti maandamano ya umma yaliyogeuka vurugu. Iran imeridhia wanawake kuhudhuria uwanjani mechi ya kufuzu kombe la dunia.

https://p.dw.com/p/3Q3Yt