1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hong Kong

Mada

Hong Kong ni eneo lenye utawala wake wa ndani, koloni la zamani la Uingereza lililopo kusini.mashariki mwa China. Kwa wakaazi wake zaidi ya milioni saba, Hong kong inashika nafasi ya nne katika mataifa yenye watu wengi.