Misri kuanzia kesho Jumapili itakabidhiwa uwenyekiti wa Umoja wa Afrika kwa mwaka 2019//Athari ya itikadi kali za Kiislamu zimeligeuza eneo la Mashariki ya Kati hadi leo//Marekani imesema inasitisha baadhi ya misaada ya kijeshi kwa Cameroon kutokana na uvunjifu wa haki za binaadamu